Hesabu 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ‘Mimi Yehova, si mwepesi wa hasira, nina upendo mwingi mshikamanifu,*+ ninasamehe makosa na uovu, lakini sikosi kamwe kuwaadhibu wenye hatia, ninawaadhibu wana na wajukuu kufikia kizazi cha tatu na cha nne kwa sababu ya makosa ya baba zao.’+ Zaburi 86:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini wewe, Ee Yehova, ni Mungu mwenye rehema na huruma,*Si mwepesi wa hasira, nawe una upendo mwingi mshikamanifu na uaminifu.*+
18 ‘Mimi Yehova, si mwepesi wa hasira, nina upendo mwingi mshikamanifu,*+ ninasamehe makosa na uovu, lakini sikosi kamwe kuwaadhibu wenye hatia, ninawaadhibu wana na wajukuu kufikia kizazi cha tatu na cha nne kwa sababu ya makosa ya baba zao.’+
15 Lakini wewe, Ee Yehova, ni Mungu mwenye rehema na huruma,*Si mwepesi wa hasira, nawe una upendo mwingi mshikamanifu na uaminifu.*+