Mwanzo 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akainua macho yake na kuwaona wanaume watatu wakiwa wamesimama umbali fulani kutoka kwake.+ Alipowaona, alikimbia kutoka kwenye mlango wa hema na kwenda kuwapokea, naye akainama mpaka chini. Mwanzo 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kisha wanaume hao wakatoka huko na kuelekea Sodoma, lakini Yehova+ akabaki na Abrahamu.
2 Akainua macho yake na kuwaona wanaume watatu wakiwa wamesimama umbali fulani kutoka kwake.+ Alipowaona, alikimbia kutoka kwenye mlango wa hema na kwenda kuwapokea, naye akainama mpaka chini.