Mwanzo 19:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Baadaye Loti akapanda kutoka Soari pamoja na mabinti zake wawili na kuanza kuishi katika eneo lenye milima,+ kwa sababu aliogopa kuishi Soari.+ Kwa hiyo akaanza kuishi pangoni pamoja na mabinti zake wawili. Zaburi 68:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwetu, Mungu wa kweli ni Mungu anayeokoa;+Na Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu huokoa kutoka katika kifo.+
30 Baadaye Loti akapanda kutoka Soari pamoja na mabinti zake wawili na kuanza kuishi katika eneo lenye milima,+ kwa sababu aliogopa kuishi Soari.+ Kwa hiyo akaanza kuishi pangoni pamoja na mabinti zake wawili.
20 Kwetu, Mungu wa kweli ni Mungu anayeokoa;+Na Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu huokoa kutoka katika kifo.+