2 Abramu akasema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, utanipa nini, kwa sababu mpaka sasa sina mtoto na yule atakayerithi nyumba yangu ni Eliezeri,+ mtu wa Damasko?”
30 Hata hivyo, andiko linasema nini? “Mfukuze kijakazi na mwanawe, kwa maana mwana wa kijakazi hatakuwa mrithi kamwe pamoja na mwana wa mwanamke aliye huru.”+