Mwanzo 26:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Baadaye Abimeleki akamtembelea kutoka Gerari akiwa pamoja na Ahuzathi mshauri wake na Fikoli mkuu wa jeshi lake.+ Mwanzo 26:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wakamwambia: “Tumeona wazi kwamba Yehova amekuwa pamoja nawe.+ Basi tukasema, ‘Tafadhali, na kuwe na kiapo cha wajibu kati yetu sisi na wewe, na tufanye agano pamoja nawe+
26 Baadaye Abimeleki akamtembelea kutoka Gerari akiwa pamoja na Ahuzathi mshauri wake na Fikoli mkuu wa jeshi lake.+
28 Wakamwambia: “Tumeona wazi kwamba Yehova amekuwa pamoja nawe.+ Basi tukasema, ‘Tafadhali, na kuwe na kiapo cha wajibu kati yetu sisi na wewe, na tufanye agano pamoja nawe+