Mwanzo 17:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo Mungu akasema: “Mke wako Sara hakika atakuzalia mwana, nawe unapaswa kumpa jina Isaka.*+ Nami nitaimarisha agano langu pamoja naye liwe agano la milele kwa uzao wake* baada yake.+ Yoshua 24:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Baada ya muda nilimtoa babu yenu Abrahamu+ ng’ambo ya Mto* na kumtembeza katika nchi yote ya Kanaani na kuzidisha uzao wake.*+ Nikampa Isaka;+ Waroma 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wala si wote walio watoto kwa sababu wao ni uzao wa* Abrahamu;+ badala yake, “Ule utakaoitwa uzao wako* utapitia kwa Isaka.”+
19 Ndipo Mungu akasema: “Mke wako Sara hakika atakuzalia mwana, nawe unapaswa kumpa jina Isaka.*+ Nami nitaimarisha agano langu pamoja naye liwe agano la milele kwa uzao wake* baada yake.+
3 “‘Baada ya muda nilimtoa babu yenu Abrahamu+ ng’ambo ya Mto* na kumtembeza katika nchi yote ya Kanaani na kuzidisha uzao wake.*+ Nikampa Isaka;+
7 Wala si wote walio watoto kwa sababu wao ni uzao wa* Abrahamu;+ badala yake, “Ule utakaoitwa uzao wako* utapitia kwa Isaka.”+