15 Na maofisa wa Farao walimwona pia, nao wakaanza kumsifu mbele ya Farao, kwa hiyo mwanamke huyo akapelekwa katika nyumba ya Farao. 16 Farao alimtendea Abramu vema kwa sababu ya Sarai, naye akapata kondoo, ng’ombe, punda madume na majike, watumishi wa kiume na wa kike, na ngamia.+