Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na maofisa wa Farao walimwona pia, nao wakaanza kumsifu mbele ya Farao, kwa hiyo mwanamke huyo akapelekwa katika nyumba ya Farao. 16 Farao alimtendea Abramu vema kwa sababu ya Sarai, naye akapata kondoo, ng’ombe, punda madume na majike, watumishi wa kiume na wa kike, na ngamia.+

  • Mwanzo 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Abramu alikuwa na utajiri mwingi wa mifugo, fedha, na dhahabu.+

  • Mwanzo 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Sasa Abrahamu alikuwa amezeeka, umri wake ulikuwa umesonga, na Yehova alikuwa amembariki Abrahamu katika kila jambo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki