Mwanzo 36:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Esau alioa mabinti wa Kanaani: Ada+ binti ya Eloni Mhiti;+ na Oholibama+ binti ya Ana, mjukuu wa Sibeoni Mhivi; 3 na Basemathi,+ binti ya Ishmaeli, dada ya Nebayothi.+ Isaya 60:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Makundi yote ya Kedari+ yatakusanywa kwako. Kondoo dume wa Nebayothi+ watakutumikia. Watakuja kwenye madhabahu yangu wakiwa na kibali,+Nami nitairembesha nyumba yangu yenye utukufu.*+
2 Esau alioa mabinti wa Kanaani: Ada+ binti ya Eloni Mhiti;+ na Oholibama+ binti ya Ana, mjukuu wa Sibeoni Mhivi; 3 na Basemathi,+ binti ya Ishmaeli, dada ya Nebayothi.+
7 Makundi yote ya Kedari+ yatakusanywa kwako. Kondoo dume wa Nebayothi+ watakutumikia. Watakuja kwenye madhabahu yangu wakiwa na kibali,+Nami nitairembesha nyumba yangu yenye utukufu.*+