Zaburi 120:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ole wangu, kwa maana nimeishi kama mgeni Mesheki!+ Nimekuwa nikiishi kati ya mahema ya Kedari.+ Yeremia 49:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kuhusu Kedari+ na falme za Hasori, ambazo Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni alizishambulia na kuzishinda, Yehova anasema hivi: “Inukeni, pandeni mwende Kedari,Na muwaangamize wana wa Mashariki. Ezekieli 27:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Uliwaajiri Waarabu na wakuu wote wa Kedari,+ waliokuwa wafanyabiashara wa wanakondoo na kondoo dume na mbuzi.+
28 Kuhusu Kedari+ na falme za Hasori, ambazo Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni alizishambulia na kuzishinda, Yehova anasema hivi: “Inukeni, pandeni mwende Kedari,Na muwaangamize wana wa Mashariki.
21 Uliwaajiri Waarabu na wakuu wote wa Kedari,+ waliokuwa wafanyabiashara wa wanakondoo na kondoo dume na mbuzi.+