Yeremia 49:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kuhusu Kedari+ na falme za Hasori, ambazo Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni alizishambulia na kuzishinda, Yehova anasema hivi: “Inukeni, pandeni mwende Kedari,Na muwaangamize wana wa Mashariki.
28 Kuhusu Kedari+ na falme za Hasori, ambazo Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni alizishambulia na kuzishinda, Yehova anasema hivi: “Inukeni, pandeni mwende Kedari,Na muwaangamize wana wa Mashariki.