-
Mwanzo 21:27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
27 Ndipo Abrahamu akachukua kondoo na ng’ombe na kumpa Abimeleki, na wote wawili wakafanya agano.
-
-
Mwanzo 21:30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
30 Akamjibu: “Pokea hawa wanakondoo jike saba kutoka mkononi mwangu kama ushahidi kwamba mimi ndiye niliyechimba kisima hiki.”
-