Mwanzo 25:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kisha wa kwanza akatoka, mwili wake wote ulikuwa mwekundu kama vazi la manyoya,+ kwa hiyo wakampa jina Esau.*+ Mwanzo 27:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yakobo akamwambia Rebeka mama yake: “Lakini Esau ndugu yangu ni mwanamume mwenye nywele nyingi,+ na ngozi yangu ni laini.
25 Kisha wa kwanza akatoka, mwili wake wote ulikuwa mwekundu kama vazi la manyoya,+ kwa hiyo wakampa jina Esau.*+
11 Yakobo akamwambia Rebeka mama yake: “Lakini Esau ndugu yangu ni mwanamume mwenye nywele nyingi,+ na ngozi yangu ni laini.