Mwanzo 28:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo Yakobo akaamka asubuhi na mapema na kuchukua lile jiwe alilokuwa amepumzisha kichwa chake juu yake, akalisimamisha kama nguzo na kumimina mafuta juu yake.+ 19 Basi akapaita mahali hapo Betheli,* lakini hapo awali jiji hilo liliitwa Luzi.+
18 Kwa hiyo Yakobo akaamka asubuhi na mapema na kuchukua lile jiwe alilokuwa amepumzisha kichwa chake juu yake, akalisimamisha kama nguzo na kumimina mafuta juu yake.+ 19 Basi akapaita mahali hapo Betheli,* lakini hapo awali jiji hilo liliitwa Luzi.+