42 Rebeka alipoambiwa maneno ya Esau mwana wake mkubwa, mara moja akaagiza Yakobo mwana wake mdogo aitwe, akamwambia: “Tazama! Esau ndugu yako anapanga kukuua ili kulipiza kisasi. 43 Sasa mwanangu, fanya ninayokwambia. Ondoka, ukimbilie kwa Labani ndugu yangu kule Harani.+