Mwanzo 49:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Naye Gadi+ atavamiwa na kundi la wavamizi, lakini atawavamia kwenye visigino vyao.+ Hesabu 32:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hivyo Musa akawapa—wana wa Gadi, wana wa Rubeni,+ na nusu ya kabila la Manase+ mwana wa Yosefu—ufalme wa Sihoni+ mfalme wa Waamori na ufalme wa Ogu+ mfalme wa Bashani, maeneo hayo na majiji yaliyokuwemo na pia majiji jirani.
33 Hivyo Musa akawapa—wana wa Gadi, wana wa Rubeni,+ na nusu ya kabila la Manase+ mwana wa Yosefu—ufalme wa Sihoni+ mfalme wa Waamori na ufalme wa Ogu+ mfalme wa Bashani, maeneo hayo na majiji yaliyokuwemo na pia majiji jirani.