Mwanzo 35:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, kisha Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, na Zabuloni. Mwanzo 46:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wana wa Isakari walikuwa Tola, Puva, Iobu, na Shimroni.+ Mwanzo 49:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Isakari+ ni punda mwenye mifupa migumu, aliyelala chini kati ya mizigo miwili aliyobeba. Kumbukumbu la Torati 33:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Alisema hivi kumhusu Zabuloni:+ “Shangilia, Ee Zabuloni, unapotoka nje,Nawe, Isakari, katika mahema yako.+
23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, kisha Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, na Zabuloni.
18 Alisema hivi kumhusu Zabuloni:+ “Shangilia, Ee Zabuloni, unapotoka nje,Nawe, Isakari, katika mahema yako.+