Mwanzo 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akasema: “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi unayoilalia, nitakupa wewe na uzao wako.*+ Mwanzo 31:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Nina uwezo wa kuwadhuru, lakini Mungu wa baba yenu aliongea nami usiku wa kuamkia leo, akaniambia, ‘Uwe mwangalifu kuhusu mambo utakayomwambia Yakobo, yawe mema au mabaya.’+
13 Na tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akasema: “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi unayoilalia, nitakupa wewe na uzao wako.*+
29 Nina uwezo wa kuwadhuru, lakini Mungu wa baba yenu aliongea nami usiku wa kuamkia leo, akaniambia, ‘Uwe mwangalifu kuhusu mambo utakayomwambia Yakobo, yawe mema au mabaya.’+