Mwanzo 24:59, 60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Basi wakamruhusu Rebeka+ dada yao na mlezi wake*+ waende pamoja na mtumishi wa Abrahamu na watu wake. 60 Nao wakambariki Rebeka na kumwambia: “Dada yetu, na uwe maelfu mara elfu kumi,* na uzao wako umiliki* lango la* wale wanaowachukia.”+
59 Basi wakamruhusu Rebeka+ dada yao na mlezi wake*+ waende pamoja na mtumishi wa Abrahamu na watu wake. 60 Nao wakambariki Rebeka na kumwambia: “Dada yetu, na uwe maelfu mara elfu kumi,* na uzao wako umiliki* lango la* wale wanaowachukia.”+