Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na watu wa kabila la Rubeni na kabila la Gadi+ nimewapa kuanzia Gileadi mpaka kwenye Bonde* la Arnoni, katikati ya bonde ulikuwa ndio mpaka, hadi Bonde la Yaboki, ambalo ni mpaka wa Waamoni,

  • Yoshua 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mfalme Sihoni+ wa Waamori, aliyeishi Heshboni na kutawala kutoka Aroeri,+ kwenye ukingo wa Bonde* la Arnoni,+ na kutoka katikati ya bonde hilo, na nusu ya Gileadi hadi Bonde la Yaboki, kwenye mpaka wa Waamoni.

  • Waamuzi 11:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mfalme wa Waamoni akawaambia wajumbe wa Yeftha, “Nimekuja kupigana nanyi kwa sababu Waisraeli walipotoka Misri+ walichukua nchi yangu, kuanzia Arnoni+ mpaka Yaboki hadi Yordani.+ Basi sasa irudishe kwa amani.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki