-
Mwanzo 32:31, 32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Na jua likachomoza mara tu Yakobo alipopita karibu na Penueli,* lakini alikuwa akichechemea kwa sababu ya nyonga yake.+ 32 Ndiyo maana tangu siku hiyo Waisraeli hawajazoea kula kano ya paja,* iliyo kwenye kiungio cha nyonga, kwa sababu mwanamume huyo aligusa kiungio cha nyonga ya Yakobo karibu na kano ya paja.
-