Waamuzi 13:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kisha Manoa akamuuliza malaika wa Yehova, “Unaitwa nani,+ ili neno lako litakapotimia tukuheshimu?” 18 Hata hivyo, malaika wa Yehova akamwambia: “Kwa nini unataka kujua jina langu, wakati jina lenyewe ni la ajabu?”
17 Kisha Manoa akamuuliza malaika wa Yehova, “Unaitwa nani,+ ili neno lako litakapotimia tukuheshimu?” 18 Hata hivyo, malaika wa Yehova akamwambia: “Kwa nini unataka kujua jina langu, wakati jina lenyewe ni la ajabu?”