Mwanzo 30:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lea akapata mimba tena na baada ya muda akamzalia Yakobo+ mwana wa sita. Mwanzo 30:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Baadaye akazaa binti na kumpa jina Dina.+ Mwanzo 46:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hao ndio wana wa Lea, aliomzalia Yakobo huko Padan-aramu, kutia ndani Dina binti yake.+ Wanawe na mabinti zake wote walikuwa 33.
15 Hao ndio wana wa Lea, aliomzalia Yakobo huko Padan-aramu, kutia ndani Dina binti yake.+ Wanawe na mabinti zake wote walikuwa 33.