Mwanzo 34:8, 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hamori akazungumza nao, akisema: “Mwanangu Shekemu anamtamani sana* binti yenu. Tafadhali mpeni binti yenu awe mke wake, 9 na mfanye mapatano ya ndoa* pamoja nasi. Tupatieni mabinti wenu, nanyi mchukue mabinti wetu.+
8 Hamori akazungumza nao, akisema: “Mwanangu Shekemu anamtamani sana* binti yenu. Tafadhali mpeni binti yenu awe mke wake, 9 na mfanye mapatano ya ndoa* pamoja nasi. Tupatieni mabinti wenu, nanyi mchukue mabinti wetu.+