22 Mwishowe Mungu akamkumbuka Raheli, na Mungu akamsikia na kumjibu kwa kumwezesha kupata mimba.+ 23 Akapata mimba na kuzaa mwana. Akasema: “Mungu ameiondoa aibu yangu!”+ 24 Basi akampa mwana huyo jina Yosefu,+ akisema: “Yehova ananiongezea mwana mwingine.”