Mwanzo 25:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo Esau akamwambia Yakobo: “Fanya haraka, tafadhali, nipe kiasi kidogo cha mchuzi huo mwekundu,* kwa maana nimechoka sana!”* Ndiyo sababu alipewa jina Edomu.*+ Mwanzo 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo Esau akahamia eneo lenye milima la Seiri.+ Esau ndiye Edomu.+
30 Kwa hiyo Esau akamwambia Yakobo: “Fanya haraka, tafadhali, nipe kiasi kidogo cha mchuzi huo mwekundu,* kwa maana nimechoka sana!”* Ndiyo sababu alipewa jina Edomu.*+