Mwanzo 30:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Baada ya Raheli kumzaa Yosefu, mara moja Yakobo akamwambia Labani: “Niruhusu niondoke ili niende nyumbani, katika nchi yangu.+ Mwanzo 46:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wana wa Raheli, mke wa Yakobo, walikuwa Yosefu+ na Benjamini.+
25 Baada ya Raheli kumzaa Yosefu, mara moja Yakobo akamwambia Labani: “Niruhusu niondoke ili niende nyumbani, katika nchi yangu.+