8 Hivyo basi, si ninyi mlionituma hapa, bali ni Mungu wa kweli, ili aniweke kuwa mshauri mkuu* wa Farao na msimamizi wa nyumba yake yote na mtawala wa nchi yote ya Misri.+
26 Baraka za baba yako zitakuwa bora kuliko baraka za milima ya milele, bora kuliko vitu vyenye kutamanika vya vilima vinavyodumu.+ Zitaendelea kuwa juu ya kichwa cha Yosefu, juu ya utosi wa kichwa cha yule aliyechaguliwa kutoka kati ya ndugu zake.+