Mwanzo 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Baada ya hayo Kaini akamwambia Abeli ndugu yake: “Twende zetu shambani.” Basi walipokuwa shambani, Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.+ Mwanzo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi Mungu akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia kwa sauti kutoka ardhini.+ Mwanzo 42:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kisha Rubeni akawaambia: “Je, sikuwaambia, ‘Msimdhuru mtoto,’* lakini hamkunisikiliza?+ Sasa kwa hakika tunadaiwa damu yake.”+
8 Baada ya hayo Kaini akamwambia Abeli ndugu yake: “Twende zetu shambani.” Basi walipokuwa shambani, Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.+
10 Basi Mungu akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia kwa sauti kutoka ardhini.+
22 Kisha Rubeni akawaambia: “Je, sikuwaambia, ‘Msimdhuru mtoto,’* lakini hamkunisikiliza?+ Sasa kwa hakika tunadaiwa damu yake.”+