-
Mwanzo 4:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Kwa hiyo Yehova akamwambia: “Kwa sababu hiyo, yeyote atakayemuua Kaini atalipizwa kisasi mara saba.”
Basi Yehova akaweka alama kwa ajili ya Kaini ili yeyote atakayempata asimuue.
-