-
1 Mambo ya Nyakati 2:3, 4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela. Binti ya Shua, mwanamke Mkanaani, alimzalia wana hao watatu.+ Lakini Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, hakumpendeza Yehova, kwa hiyo Akamuua.+ 4 Tamari,+ binti mkwe wa Yuda, alimzalia Yuda wana walioitwa Perezi+ na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.
-