Kutoka 40:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Akaingiza sanduku la Ushahidi ndani ya hema la ibada na kuweka pazia+ ambalo lilifunika sanduku la Ushahidi,+ kama Yehova alivyomwamuru Musa. Waebrania 10:19, 20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo, akina ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri* wa njia ya kuingia katika mahali patakatifu+ kwa damu ya Yesu, 20 aliyotufungulia* kuwa njia mpya na yenye uzima kupitia lile pazia,+ yaani, mwili wake,
21 Akaingiza sanduku la Ushahidi ndani ya hema la ibada na kuweka pazia+ ambalo lilifunika sanduku la Ushahidi,+ kama Yehova alivyomwamuru Musa.
19 Kwa hiyo, akina ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri* wa njia ya kuingia katika mahali patakatifu+ kwa damu ya Yesu, 20 aliyotufungulia* kuwa njia mpya na yenye uzima kupitia lile pazia,+ yaani, mwili wake,