Mambo ya Walawi 26:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mimi ni Yehova Mungu wenu, niliyewatoa katika nchi ya Misri ili msiendelee kuwa watumwa wao, nami nikavunja nira yenu na kuwafanya mtembee vichwa vyenu vikiwa vimeinuliwa.*
13 Mimi ni Yehova Mungu wenu, niliyewatoa katika nchi ya Misri ili msiendelee kuwa watumwa wao, nami nikavunja nira yenu na kuwafanya mtembee vichwa vyenu vikiwa vimeinuliwa.*