7Siku ambayo Musa alimaliza kutengeneza hema la ibada,+ alilitia mafuta+ na kulitakasa pamoja na vyombo vyake vyote, na madhabahu na vyombo vyake vyote.+ Baada ya kuvitia mafuta na kuvitakasa vitu hivyo,+
15 Siku ambayo hema la ibada lilijengwa,+ wingu lilifunika hema la ibada, yaani, hema la Ushahidi, lakini wakati wa jioni kitu kilichoonekana kama moto kilikaa juu ya hema hilo mpaka asubuhi.+