15 Siku ambayo hema la ibada lilijengwa,+ wingu lilifunika hema la ibada, yaani, hema la Ushahidi, lakini wakati wa jioni kitu kilichoonekana kama moto kilikaa juu ya hema hilo mpaka asubuhi.+
8 Na patakatifu pakajaa moshi kwa sababu ya utukufu wa Mungu+ na kwa sababu ya nguvu zake, na hakuna yeyote aliyeweza kuingia patakatifu mpaka yale mapigo saba+ ya wale malaika saba yalipomalizika.