Kutoka 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mara moja wasimamizi hao wakawaambia: “Yehova na awatazame ninyi na kuwahukumu, kwa maana mmefanya Farao na watumishi wake watudharau* nanyi mmeweka upanga mkononi mwao ili watuue.”+
21 Mara moja wasimamizi hao wakawaambia: “Yehova na awatazame ninyi na kuwahukumu, kwa maana mmefanya Farao na watumishi wake watudharau* nanyi mmeweka upanga mkononi mwao ili watuue.”+