Kutoka 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana nitapita katikati ya nchi ya Misri usiku huo na kumuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri, kuanzia mwanadamu mpaka mnyama;+ nami nitatekeleza hukumu dhidi ya miungu yote ya Misri.+ Mimi ni Yehova. Kutoka 12:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Siku hiyohiyo, Yehova aliwatoa Waisraeli pamoja na makundi yao makubwa* kutoka katika nchi ya Misri.
12 Kwa maana nitapita katikati ya nchi ya Misri usiku huo na kumuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri, kuanzia mwanadamu mpaka mnyama;+ nami nitatekeleza hukumu dhidi ya miungu yote ya Misri.+ Mimi ni Yehova.
51 Siku hiyohiyo, Yehova aliwatoa Waisraeli pamoja na makundi yao makubwa* kutoka katika nchi ya Misri.