Kutoka 4:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Yehova akamuuliza: “Ni nini hicho kilicho mkononi mwako?” Akajibu: “Fimbo.” 3 Akamwambia: “Itupe chini.” Basi akaitupa chini, nayo ikawa nyoka;+ Musa akamkimbia.
2 Ndipo Yehova akamuuliza: “Ni nini hicho kilicho mkononi mwako?” Akajibu: “Fimbo.” 3 Akamwambia: “Itupe chini.” Basi akaitupa chini, nayo ikawa nyoka;+ Musa akamkimbia.