30 Kisha Musa akaondoka mbele ya Farao na kumsihi Yehova.+31 Basi Yehova akafanya kama Musa alivyomsihi, na nzi wakaondoka kwa Farao, kwa watumishi wake, na kwa watu wake. Hakubaki hata nzi mmoja.
33 Basi Musa akaondoka jijini kutoka mbele ya Farao, akainyoosha mikono yake mbele za Yehova, ngurumo na mvua ya mawe zikakoma na mvua ikaacha kunyesha nchini.+