Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 8:30, 31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kisha Musa akaondoka mbele ya Farao na kumsihi Yehova.+ 31 Basi Yehova akafanya kama Musa alivyomsihi, na nzi wakaondoka kwa Farao, kwa watumishi wake, na kwa watu wake. Hakubaki hata nzi mmoja.

  • Kutoka 9:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Basi Musa akaondoka jijini kutoka mbele ya Farao, akainyoosha mikono yake mbele za Yehova, ngurumo na mvua ya mawe zikakoma na mvua ikaacha kunyesha nchini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki