Kutoka 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Halafu Yehova akamwambia Musa: “Baada ya kurudi Misri, hakikisha kwamba unafanya mbele ya Farao miujiza yote ambayo nimekupa nguvu za kuifanya.+ Lakini nitauacha moyo wake uwe mkaidi,+ naye hatawaruhusu watu hao waondoke.+
21 Halafu Yehova akamwambia Musa: “Baada ya kurudi Misri, hakikisha kwamba unafanya mbele ya Farao miujiza yote ambayo nimekupa nguvu za kuifanya.+ Lakini nitauacha moyo wake uwe mkaidi,+ naye hatawaruhusu watu hao waondoke.+