Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 4:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Halafu Yehova akamwambia Musa: “Baada ya kurudi Misri, hakikisha kwamba unafanya mbele ya Farao miujiza yote ambayo nimekupa nguvu za kuifanya.+ Lakini nitauacha moyo wake uwe mkaidi,+ naye hatawaruhusu watu hao waondoke.+

  • Kutoka 8:31, 32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi Yehova akafanya kama Musa alivyomsihi, na nzi wakaondoka kwa Farao, kwa watumishi wake, na kwa watu wake. Hakubaki hata nzi mmoja. 32 Hata hivyo, kwa mara nyingine tena Farao akaufanya moyo wake kuwa mgumu naye hakuwaruhusu Waisraeli waende zao.

  • Kutoka 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nami ninaiacha mioyo ya Wamisri iwe mikaidi, ili waingie humo wakiwafuatia; kwa hiyo nitajipatia utukufu kupitia Farao na jeshi lake lote, magari yake ya vita, na askari wake wapanda farasi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki