Kutoka 9:31, 32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Sasa mimea ya kitani na shayiri ilikuwa imeharibiwa kabisa na mvua, kwa sababu mimea ya shayiri ilikuwa na masuke na mimea ya kitani ilikuwa imechanua maua. 32 Lakini ngano na kusemethi* haikuwa imeharibiwa, kwa sababu haikuwa imekomaa.*
31 Sasa mimea ya kitani na shayiri ilikuwa imeharibiwa kabisa na mvua, kwa sababu mimea ya shayiri ilikuwa na masuke na mimea ya kitani ilikuwa imechanua maua. 32 Lakini ngano na kusemethi* haikuwa imeharibiwa, kwa sababu haikuwa imekomaa.*