Kutoka 8:30, 31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kisha Musa akaondoka mbele ya Farao na kumsihi Yehova.+ 31 Basi Yehova akafanya kama Musa alivyomsihi, na nzi wakaondoka kwa Farao, kwa watumishi wake, na kwa watu wake. Hakubaki hata nzi mmoja.
30 Kisha Musa akaondoka mbele ya Farao na kumsihi Yehova.+ 31 Basi Yehova akafanya kama Musa alivyomsihi, na nzi wakaondoka kwa Farao, kwa watumishi wake, na kwa watu wake. Hakubaki hata nzi mmoja.