11 Basi Yosefu akawapa makao baba yake na ndugu zake, aliwapa miliki katika nchi ya Misri, katika sehemu bora kabisa ya nchi, katika eneo la Ramesesi,+ kama Farao alivyoamuru.
11 Basi wakaweka wasimamizi wa kazi za utumwa* ili wawatumikishe na kuwakandamiza kwa kazi ngumu,+ nao wakamjengea Farao majiji yenye maghala, yaani, Pithomu na Raamsesi.+