Kutoka 12:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Mnapaswa kuadhimisha tukio hili kwa kuwa ni sheria ya kudumu kwenu na kwa wana wenu.+ 25 Nanyi mtakapoingia katika nchi ambayo Yehova atawapa kama alivyoahidi, mnapaswa kuadhimisha tukio hilo.+
24 “Mnapaswa kuadhimisha tukio hili kwa kuwa ni sheria ya kudumu kwenu na kwa wana wenu.+ 25 Nanyi mtakapoingia katika nchi ambayo Yehova atawapa kama alivyoahidi, mnapaswa kuadhimisha tukio hilo.+