-
Kutoka 18:2-4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Yethro, baba mkwe wa Musa, alikuwa amemchukua Sipora mke wa Musa ili amtunze, Sipora aliporudishwa 3 pamoja na wanawe wawili.+ Mwana mmoja aliitwa Gershomu,*+ kwa sababu Musa alisema, “Nimekuwa mkaaji mgeni katika nchi ya kigeni,” 4 na yule mwingine aliitwa Eliezeri,* kwa sababu Musa alisema, “Mungu wa baba yangu ni msaidizi wangu, aliyeniokoa kutokana na upanga wa Farao.”+
-