2 “Waambie Waisraeli kwamba wanapaswa kurudi na kupiga kambi mbele ya Pihahirothi, kati ya Migdoli na bahari, mbele ya Baal-sefoni.+ Mtapiga kambi mbele yake kando ya bahari. 3 Kisha Farao atasema hivi kuhusu Waisraeli, ‘Wanatangatanga nchini kwa sababu wamechanganyikiwa. Wamepotea nyikani.’