Kutoka 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Miriamu akaimba hivi akiwaitikia wanaume: “Mwimbieni Yehova, kwa maana amekwezwa sana.+ Farasi na mpandaji wake amewavurumisha baharini.”+ Zaburi 136:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Alimkung’uta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu,+Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.
21 Miriamu akaimba hivi akiwaitikia wanaume: “Mwimbieni Yehova, kwa maana amekwezwa sana.+ Farasi na mpandaji wake amewavurumisha baharini.”+
15 Alimkung’uta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu,+Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.