Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova akamjibu Musa: “Nikusanyie wanaume 70 miongoni mwa wazee wa Israeli, wanaume ambao unajua kwamba ni wazee na maofisa wa watu,+ nawe uwapeleke kwenye hema la mkutano, na kuwaagiza wasimame hapo pamoja nawe. 17 Nitashuka+ na kuzungumza nawe hapo,+ nami nitachukua kiasi fulani cha roho+ iliyo juu yako na kuiweka juu yao, nao watakusaidia kubeba mzigo wa watu hawa ili usiubebe peke yako.+

  • Kumbukumbu la Torati 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Chagueni wanaume wenye hekima, busara, na wenye uzoefu kutoka katika makabila yenu, nami nitawaweka kuwa viongozi wenu.’+

  • Matendo 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi akina ndugu, jichagulieni kati yenu wanaume saba wenye sifa nzuri,+ waliojaa roho na hekima,+ ili tuwaweke rasmi wafanye kazi hii muhimu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki