Zaburi 105:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Alimtuma Musa mtumishi wake,+Na Haruni,+ aliyekuwa amemchagua. Zaburi 105:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Misri ilishangilia walipoondoka,Kwa maana hofu ya Israeli* ilikuwa imewashika.+ Matendo 7:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Hakika nimeona jinsi watu wangu walio Misri wanavyokandamizwa, nimesikia kilio chao cha huzuni,+ nami nimeshuka ili kuwaokoa. Basi njoo, nitakutuma huko Misri.’
34 Hakika nimeona jinsi watu wangu walio Misri wanavyokandamizwa, nimesikia kilio chao cha huzuni,+ nami nimeshuka ili kuwaokoa. Basi njoo, nitakutuma huko Misri.’