-
Matendo 7:17-19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 “Wakati ulipokuwa ukikaribia wa kutimizwa kwa ahadi ambayo Mungu alikuwa amempa Abrahamu, watu wakazidi kuongezeka huko Misri, 18 mpaka alipotokea mfalme mwingine huko Misri ambaye hakumjua Yosefu.+ 19 Mfalme huyo akaitendea jamii yetu kwa hila na kuwalazimisha kimakosa akina baba wawaache watoto wao wachanga ili wafe.+
-